Music Lyrics

Harmonize – Bakhresa Lyrics

Harmonize – Bakhresa Lyrics (Updated: Tuesday, 15th March 2022, 02:23 PM)


Harmonize – Bakhresa Lyrics

Bakhresa…
Bakhre
Bakhre
Bakhresa…

yeah!
Konde boy call me
Number One
Number one
Bila shaka haujawahi
Kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia
Unacho kula
Huwezi muona kwa
Tv ata kwa dharula
Ingawa yeye ndo
Mwenye king amuzi

Hana time na mitandao
Yani kuuza sura
Ype busy na mafao
Pesa mlungula
Angetaka kupita nao
Wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii

Masikini anawapa mitaji
wagawane na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha
Na wajane au mayatima
Hawezi kujisifia nyamba
Wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba
Jalajalali kikubwa uzima!
Sura yake kwako lazima
Itakuwa ngeni
Uwewnda ushapishana
Nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa
Kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni (Yeah)

Mfano wa mtu mwenye pesa!
Ooh pesaa!
Aaah!
We mtazame bakhresa!
bakhresa….
Mfano wa mtu mwenye pesaah ah ah!
Ooh pesaaaa
aaaahh…
We mtazame bakhresa!
bakhresa….

I wanna smoke some weed
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
aaaahhhh….

Bakhresa hajawahi kugombea
Cheo au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa
Hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Akina tajiri mo kipenzi
Chu wana simba aah ahh!
Tunawaona insta wakicheza
Nakuimba aah aah aah!
Gharibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu wa kwenda
Kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwenzi kumuona
Bakhresa akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa
(Bakhresa aah aah)
Mtanzania pekee aliyee juu
Ya bakhresa ni raisi
Wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
OOh
And guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea akiongea
Ni kwaajili yetu sisi

Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich

Mfano wa mtu mwenye pesa!
Ooh pesaa!
Aaah!
We mtazame bakhresa!
bakhresa….
Mfano wa mtu mwenye pesaah ah ah!
Ooh pesaaaa
aaaahh…
We mtazame bakhresa!
bakhresa….

I wanna smoke some weed
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh
Uuh uuh uuh uuh

Yaw yaw
Tell them boys
We got this new money
And we live low key baby…
Jeshii

Add a coment

Recent Posts

Junior Boy
Junior Boy
Kizz Daniel
Kizz Daniel
Moelogo
Moelogo
Duncan Mighty
Duncan Mighty
Skaa
Skaa
Ichaba
Ichaba
Adol
Adol
Mascara Vibez
Mascara Vibez
Chinko Ekun
Chinko Ekun
Odunsi (The...
Odunsi (The...
Aramide
Aramide
Naeto C
Naeto C
Danny Young
Danny Young
JamoPyper
JamoPyper
Kranium
Kranium
Banky W
Banky W
Rayce
Rayce
Praiz
Praiz
Otega
Otega
Yung6ix
Yung6ix
Terri
Terri
Korede Bello
Korede Bello
Mr Real
Mr Real
Teni
Teni
Tonto Dikeh
Tonto Dikeh
SkiiBii
SkiiBii
Diamond Jimma
Diamond Jimma
Philkeyz
Philkeyz
Illbliss
Illbliss
Magixx
Magixx
Hotkid
Hotkid
Portable
Portable
A-Q
A-Q
Qdot
Qdot
King Perry
King Perry
Ibraah
Ibraah
Picazo
Picazo
Tiwa Savage
Tiwa Savage
Temmie Ovwasa
Temmie Ovwasa
Dice Ailes
Dice Ailes
NAIJAKIT.COM

Trending Posts